Skip to main content
Skip to main content

Miili 6 zaidi yafukuliwa Kwa Binzaro, idadi yafikia 25!

  • | Citizen TV
    792 views
    Duration: 1:46
    Zoezi la kufukua miili katika kijiji cha Kwa Binzaro kaunti ya kilifi limeendelea leo huku miili Sita zaidi ikifukuliwa kutoka kwenye kaburi nne. Zoezi la leo likifikisha idadi ya maiti iliyofukuliwa kufikia 25