Skip to main content
Skip to main content

Rais Samia atangaza 'msamaha' kwa vijana waliokamatwa kwenye maandamano, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    26,488 views
    Duration: 28:10
    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza msamaha kwa vijana waliokamatwa kufuatia maandamano ya siku 3 yaliyofanyika kuanzia siku ya uchaguzi, Oktoba 29, 2025. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw