Skip to main content
Skip to main content

Serikali inasema kila kitu kiko tayari kwa mpito wa sekondari ya juu

  • | Citizen TV
    230 views
    Duration: 1:33
    Serikali iko tayari kwa mpito wa sekondari ya juu , haya ni kwa mujibu wa waziri wa elimu Julius Migos Ogamba .Akizungumza katika chuo kikuu cha Embu, waziri Migos amesema kuwa mikakati imewekwa kuhakikisha kuwa wanafunzi watakaojiunga na gredi ya kumi Januari mwaka ujao hawakosi masomo