Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa hazina ya kitaifa John Mbadi asema hatageuza nia yake

  • | Citizen TV
    563 views
    Duration: 1:35
    Naibu Rais Prof. Kithure Kindiki ameongoza kikao cha 13 cha ushirkiano wa kwenye makao yake rasmi huko Karen jijini Nairobi. Kwenye kikao hicho, Waziri wa Hazina ya Kitaifa John mbadi amesema kuwa mpango wa uagizaji bidhaa kwa kutumia mtandao utatekelezwa kikamilifu ili kuziba mianya ya ukiukaji wa sheria na wizi wa fedha za umma.