Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Kiislamu kaunti ya Kilifi wataka uchaguzi wa SUPKEM uandaliwe

  • | Citizen TV
    360 views
    Duration: 1:57
    Viongozi wa Kiislamu katika Kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa Baraza Kuu la Waislamu nchini(SUPKEM) kuandaa uchaguzi wa kitaifa mara moja