Skip to main content
Skip to main content

Mamia ya wasafiri walikesha barabarani Gilgil

  • | Citizen TV
    3,041 views
    Duration: 2:31
    Mamia ya wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Nakuru kuelekea Nairobi walitatizika kwa zaidi ya saa kumi na mbili kufuatia msongamano wa magari ulioanza alhamisi. Kulingana na mamlaka ya barabara kuu -KeNHA, msongamano huo ulisababishwa na ongezeko la magari kwenye barabara hiyo pamoja na madereva waliokosa nidhamu