Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa wa Third Force wamtaka Duale kujiuzulu kwa sakata ya bima ya SHA

  • | Citizen TV
    1,711 views
    Duration: 2:37
    Viongozi wa mrengo wa Third Force sasa wanasema wataanzisha mchakato wa kumbandua mamlakani waziri wa afya Aden Duale kufuatia sakata ya malipo ya SHA. Wakiongozwa na Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna, viongozi hawa wamelaumu serikali kwa kulegezea vita dhidi ya ufisadi. Haya yanajiri huku nao viongozi wa Kenya kwanza wakiapa kupigana na ufisadi wakisema viongozi wa upinzani pia wanahusika pakubwa na karibuni watakamatwa