Skip to main content
Skip to main content

Wanaume watatu wafikishwa mahakamani kwa kumlawiti mvulana wa miaka 15

  • | KBC Video
    2,627 views
    Duration: 2:08
    Wanaume watatu wamefikishwa katika mahakama ya Mombasa wakishtakiwa kwa kumlawiti mvulana mwenye umri wa miaka 15 katika eneo la Ganjoni kaunti ya Mombasa. Washtakiwa Shukri Aden, Abdallah Omar Athumani ajulikanaye kama Babu, na Salim Chege almaarufu Rasta, wanadaiwa kutekeleza kitendo hicho siku tofauti baina ya Agosti tarehe 15 na Agosti tarehe 25 mwaka 2025. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive