- 87 viewsMfugaji wa kuku Afrika Kusini apata hasara baada ya kuku wake 40,000 kufa kutokana na ukosefu wa hewa, baada ya kukosekana umeme. Mfugaji huyo anaeleza mikakati yake katika kukabiliana na tatizo hilo la umeme na vipi mfumo huo unaotumia jenereta unavyofanya kazi na katika hali ya dharura kutokana na ukosefu wa umeme nini wafanyabiashara wengine hufanya. Ungana na mwandishi wetu akikuelezea kwa kina changamoto hizo na suluhisho lake. #mfugaji #kuku #afrikakusini #hasara #umeme #jenereta #wafanyabiashara #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mfanyabiashara aeleza changamoto za kukosekana umeme Afrika Kusini
- - Inspired by nature ››
- 7 May 2024 - The New York judge presiding over Donald Trump's historic criminal trial again found the former US president in contempt of a gag order on Monday and threatened to jail him for further violations.
- 7 May 2024 - Ukraine on Monday said it had restored power to hundreds of thousands of people who lost electicity in overnight Russian strikes but warned of "urgent challenges" in maintaining the grid.
- 7 May 2024 - The Kenya Railways Corporation (KRC) has announced the partial resumption of commuter train service after suspension due to heavy rainfall.
- 7 May 2024 - The aged rely on their grandchildren. An average of 300 families have sought refuge at Ombaka Primary School, the only designated evacuation site in the area. Makeshift tents dot the school field, prompting urgent action calls from the government.
- 7 May 2024 - Dumi Camp, in Garsen, Tana River County; an estimated 389 households are camping here.
- 7 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The interest from Sh2.5 billion loan Lake Basin Development Authority (LBDA) took 10 years ago to build Lake Basin Mall […]
- 7 May 2024 - Nurses union issues seven-day strike over 'unmet demands'
- 7 May 2024 - Mung'aro rescinds decision to move Shakahola bodies
- 7 May 2024 - Win for Mombasa as KPA starts to collect levies from ships, lories
- 7 May 2024 - Parliament wants unoperational refineries company dissolved