Skip to main content
Skip to main content

Maonyesho ya Kilimo Mombasa yamewavutia washiriki zaidi ya 1,000

  • | Citizen TV
    488 views
    Duration: 3:18
    Rais William Ruto anafungua rasmi maonyesho ya kilimo tawi la Mombasa hii leo. Maonyesho hayo yalianza hapo jana na yamewavutia washiriki zaidi ya 1,000 yakilenga kupiga jeki kilimo cha kisasa na uwekezaji.