Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti yasambaza maji ya mifereji kwenye maboma

  • | Citizen TV
    274 views
    Duration: 2:29
    Ni afueni kwa zaidi ya familia 10,000 katika kaunti ya vihiga baada ya serikali ya kaunti hiyo kuwasambazia maji ya mifereji kwenye maboma yao kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Akizindua baadhi ya miradi hiyo ya maji kwa wakazi wa vihiga gavana wa kaunti hiyo dkt. Wilber ottichilo amedokeza kuwa atahakikisha kwamba wakazi zaidi wanapata maji nyumbani.