- 20 views
Katibu wa huduma za magereza Esther Ngero amejiuzulu. Ngero alijiuzulu wiki moja tu baada ya kuhamishwa kutoka idara ya usimamizi na utoaji huduma katika afisi ya waziri mwenye mamlaka makuu hadi huduma za magereza chini ya wizara ya usalama wa kitaifa. Taarifa kutoka mkuu wa utumishi wa umma imemtaja Ngero kuwa nguzo muhimu kwenye uzinduzi wa mpango wa kuimarisha usimamizi na utoaji huduma za serikali na pamoja na usimamizi wa taasisi za serikali katika wizara mbali mbali Ngero ambaye ni mtaalamu wa uhasibu aliteuliwa kuwa katibu baada ya kuhudumu kwa miongo miwili katika sekta ya mafuta. Rais William Ruto amemshukuru Bi Ngero kwa huduma zake kwa taifa na kumtakia kila la heri maishani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #darubini #resign
Katibu wa huduma za magereza Esther Ngero ajiuzulu
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - Ghana's parliament, which has been adjourned since March following a row between the speaker and the president over an anti-LGBT bill, will reconvene on Friday to discuss approval of ministerial appointees and other "urgent matters".
- 18 May 2024 - In the narrow alleys of Mathare slum, a teenage girl's struggle for menstrual dignity takes a harrowing turn during the rainy season.
- 18 May 2024 - Court established chief's sons plotted to disinherit their sisters using Kamba customary law.
- 18 May 2024 - The DP has never shied away from public forums and has always been next to President Ruto.
- 18 May 2024 - Malala says they want to have a strong party such as CCM in Tanzania.
- 18 May 2024 - The application is available for download on both the Play Store and Apple Store or via www.lornahsportscoaching.com
- 18 May 2024 - Kapaito restated the side's craving for a robust finish to the season, adding that they will regard each of their remaining fixtures as a final.
- 18 May 2024 - Shujaa are in Pool 'C', where they start their campaign against Japan at 12:22 pm on Saturday.
- 18 May 2024 - Coach Nickson Oyaro said the soldiers, who are top with 37 points from 19 matches, will go all out for goals.