- 36 views
Jaji mkuu Martha Koome amesikitishwa na kile amekitaja kuwa utendakazi mbovu wa mwanakandarasi aliyepewa jukumu la ujenzi wa jengo la kisasa la mahakama mjini Mombasa la thamani ya mamilioni ya pesa Koome alisikitika kwamba fedha zilizolipwa mwanakandarasi huyo ni kama zilizopotea baada ya ripoti za uchunguzi wa tume ya huduma ya mahakama kutathmini hali ya jengo hilo linalokadiriwa kugharimu shilingi milioni 445. Jengo hilo la ghorofa nne limejengwa kwenye kipande cha ardhi chenye ukubwa wa ekari 3.6 mkabala wa majengo ya awali ya mahakama yaliyojengwa mnamo mwaka 1984.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #marthakoome #darubini
Jaji Mkuu Koome akosoa utendakazi wa mkandarasi wa ujenzi wa mahakama Mombasa
- 6 May 2024 - Nurses could join the ongoing medics strike if the Salaries and Remuneration Commission (SRC) does not implement the Collective Bargaining Agreement in the next week.
- 6 May 2024 - Mwingi Court residents in Kileleshwa on Sunday protested the illegal construction of a commercial building in what they term a residential area.
- 6 May 2024 - The family of Lydia Olando Maloba, a Kenya Airways Station Manager based in Kinshasa and reportedly being held incommunicado at a military camp in the Democratic Republic of Congo has revealed more details regarding the circumstances under which their…
- 6 May 2024 - Interior Security CS Professor Kithure Kindiki on Thursday directed those living within immediate neighborhoods of filled-up public or private dams or other water reservoirs to evacuate immediately and move to safer grounds.
- 6 May 2024 - Hell broke loose when UDA lawmakers clashed with their counterparts in ODM over the performance by the government. Police were forced to lob tear gas to disperse the leaders and their supporters.
- 5 May 2024 - Premium
- 5 May 2024 - Some party leaders have been campaigning for the establishment of three deputy party leader positions with Gachagua allies being jittery about an alleged scheme to weaken his role and influence.
- 5 May 2024 - A 12-year-old boy has died after he slipped in a cattle dip at Kiandegwa village in Mwea West, Kirinyaga County.
- 5 May 2024 - Rejuvenated Liverpool dent Tottenham's Champions League push
- 5 May 2024 - African Union's plan on fertilisers a recipe for disaster