- 397 viewsSpika wa bunge la Tanzania DR. Tulia Ackson amesema bunge la nchini hiyo lina wajibu wa kupunguza matumizi ya serikali. Ameyasema hayo katika mahojiano maalumu na kipindi hichi cha Dunia leo mapema leo, ambapo pia mbali na kuwa spika wa bunge la Tanzania , Dr. Ackson ni mwenyekiti wa muunga wa mabunge ya Afrika –IPU na sasa anagombea kuwa rais wa muungano huo. Kwanza anaanza kwa kujibu kuhusu kubana matumizi ya serikali . #VOASwahili #spika #bunge #tanzania #matumizi #serikali #voa #dunianileo Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Spika wa Bunge la Tanzania Dr Tulia Ackson azungumzia wajibu wa Bunge kupunguza matumizi ya serikali
- - Duniani Leo ››
- 7 May 2024 - Rescue efforts were underway after three people were killed and dozens remained trapped after a multi-storey building under construction collapsed in the South African city of George.
- 7 May 2024 - As India votes in a six-week general election, Narendra Modi's image adorns everything from packs of rice handed out to the poor to large posters in cities and towns.
- 7 May 2024 - Train services were suspended owing to the floods and heavy rains.
- 7 May 2024 - 'Maai Mahiu floods snatched my beloved son from my hands'
- 7 May 2024 - CS for Agriculture Mithika Linturi runs a key function in Ruto administrations economic plan. Healths Susan Nakhumicha runs another function that is key in the life of the country.
- 7 May 2024 - Australian PM accuses Chinese warplane of 'unacceptable' conduct
- 7 May 2024 - The man left the suspicious goods at the bus booking office for clearance from the government.
- 7 May 2024 - Amnesty says Somali strikes with Turkish drones killed civilians
- 7 May 2024 - Boeing probed in US over possible falsified records on 787
- 7 May 2024 - No letup yet for flood-battered southern Brazil