- 1,647 views
Wanachama na Viongozi wa chama cha UDA Katika kaunti ya Kajiado wametofautiana vikali na pendekezo la katibu wa chama hicho Cleophas Malala kuhusu kuzika tofauti zao za kushirikiana na Gavana wa Kaunti hiyo Joseph Ole Lenku.Wakizungumza kwenye mkutano wa wanachama huko Kajiado, wanachama hao wanalalamika kuwa Gavana Lenku amekuwa akitafuta mwafaka na Viongozi wakuu serikalini lakini anaendeleza uhasama wa kisiasa dhidi ya viongozi wa UDA Kajiado. viongozi hao wanasema kuwa hawako tayari kushirikiana na Gavana Lenku.
Viongozi wa UDA wakataa kushirikiana na gavana Ole Lenku katika kaunti ya Kajiado
- 3 Aug 2025 - According to the Directorate of Criminal Investigations (DCI), Mwaita was apprehended in Kilimani on Sunday and is facing a number of charges, including conspiracy to commit a felony, creating a document without authority, abuse of office, and providing…
- 3 Aug 2025 - Speaking during an economic empowerment forum in Nakuru East Constituency on Sunday, Kindiki said the highway expansion will significantly ease the movement of people and goods, reduce road accidents, and enhance regional trade.
- 3 Aug 2025 - The seat was left vacant following the death of Senator William Cheptumo early this year.
- 3 Aug 2025 - Ruku said the move will unite the country, boost the team's morale and show patriotism as Kenyans.
- 3 Aug 2025 - Kakamega Senator Boni Khalwale has expressed disappointment over the closure of St Mary’s Mission Hospital in Mumias.
- 3 Aug 2025 - Kalonzo accuses Government of blocking fans to Harambee Stars match
- 3 Aug 2025 - “Since I am the SG of the party, I will read all the resolutions from ODM, even if they insult me."
- 3 Aug 2025 - China's efforts have sparked significant increase in global interest in wetland conservation
- 3 Aug 2025 - The former lawmaker is facing several charges.
- 3 Aug 2025 - Gunmen kidnapped more than 50 people in northwest Nigeria in a mass abduction, according to a private conflict monitoring report created for the United Nations and seen by AFP on Sunday.