Skip to main content
Skip to main content

Chama cha UDA chawaidhinisha wawaniaji mbalimbali

  • | KBC Video
    224 views
    Duration: 3:05
    Chama cha UDA kimewapa vyeti wagombeaji saba wanaowania nyadhifa za uchaguzi katika wadi na maeneo bunge mbali mbali kabla ya chaguzi ndogo zijazo. Wagombeaji wanaowania nyadhifa za mbunge wa Mbeere kazini, Magarini na Banisa hawatashiriki katika mchujo wa chama hicho mnamo Septemba 20, mwaka 2025. Abdiaziz Hashim atuarifu zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive