- 2,191 views
Mswada wa fedha wa mwaka 2023 leo unatarajiwa kuwasilishwa katika bunge la kitaifa kusomwa mara ya pili. Kamati ya Fedha katika bunge hilo inatarajiwa kuuwasilisha pamoja na marekebisho kadhaa. Mswada huu unawasilishwa huku macho yote yakielekezwa bunge kufuatia tetesi na pingamizi kali zilizojitokeza. Viongozi wa upinzani wameshikilia kuwa wataupinga mswada huo huku wale wa kenya kwanza wakisisitiza kuwa wataupitisha.
Mswada wa fedha watarajiwa kuwasilishwa bungeni kwa somo la pili leo
- 3 Aug 2025 - The activist is affiliated with MUHURI.
- 3 Aug 2025 - China's efforts have sparked significant increase in global interest in wetland conservation
- 3 Aug 2025 - Plan aims to facilitate smooth movement of teams, officials, fans, and to enhance security
- 3 Aug 2025 - Exporters brace for Trump blow after Kenya fails to seal trade deal
- 3 Aug 2025 - Why political camps are suddenly competing for Kalonzo's attention
- 3 Aug 2025 - Home player Rugu floors 239 contestants to lift inaugural Ruiru golf tournament
- 3 Aug 2025 - Mt Kenya CSs go missing at Ruto's point of most need
- 3 Aug 2025 - Harambee Stars ready to roar against DR Congo in CHAN opener
- 3 Aug 2025 - Political turncoats: Raila's allies massive shift to Ruto's hardliners
- 3 Aug 2025 - The time for Harambee Stars to make Kenyans happy is now