- 258 views
Kwa siku ya pili waumini wa dini ya kiislamu wanasheherekea siku ya Eid ul adha katika maeneo tofauti nchini. katika kaunti ya mombasa, Gavana ABDULSWAMAD SHARRIF NASSIR amewataka waislamu kudumisha umoja na kuwakumbuka wasiojiweza. Akiongea katika uwanja wa Ronald ngala ambapo alijiunga na mamia ya waislamu kwa sherehe hizo Sharrif Nassir ametaka serikali kutatua suala la gharama ya Maisha. Aidha viongozi wa kidini kutoka mombasa wametaka tume ya huduma za mahakama JSC kuharakisha uteuzi wa kadhi mkuu na kushikilia kwamba zoezi hilo ni sharti liwe na uwazi.
Waumini wa dini ya kiislamu washeherekea siku ya Eid ul adha katika maeneo tofauti nchini
- 11 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi intends to engage officials from the ministry of education over school capitation crisis.
- » Bella Comedy: Viral assault on Kalenjin female comedian sparks outrage, calls for arrest of perpetrator11 Aug 2025 - A disturbing assault caught on video showing a businessman going by the name Pavilion physically attacking a female content creator, Bella Comedy, at the Kutiti Festival at Nairobi's Carnivore Gardens has triggered widespread outrage.
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
- 11 Aug 2025 - The President praised Harambee Stars for their “phenomenal” win over Morocco
- 11 Aug 2025 - Joho urged residents not to be misled by politicians seeking to incite them against the president and his administration.
- 11 Aug 2025 - Kindiki said that no previous government had done as much to improve sports facilities and support talent development
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Gachagua stares at an arrest upon return.
- 11 Aug 2025 - County health officer Pariken says the department has mapped out the most affected areas.