- 424 views
Wavulana wawili akiwemo binamu wa mshukiwa mkuu katika mauaji ya mwanamitindo na mtetezi wa watu wa jinsia moja Edwin Chiloba wameambia mahakama kwamba walimsaidia mshukiwa Jackton Odhimbo kubeba sanduku la chuma ambalo lilikuwa na mwili wa Chiloba.Walipokuwa wakitoa ushahidi wakati wa kusikizwa kwa kesi mbele ya Jaji Reuben Nyakundi katika Mahakama Kuu mjini Eldoret, wawili hao wenye umri wa miaka 17 waliieleza mahakama kuwa walimsaidia Odhiambo kupakia sanduku kwenye gari mnamo Januari 3.Hata hivyo, mashahidi hao walikiri kuwa hawakufungua kisanduku hicho na wala hawakujua kilichomo ndani yake hadi siku kadhaa baadae walipohojiwa na maafisa wa DCI na kuonyeshwa picha za mwili wa marehemu Chiloba kwenye sanduku hilo .
Ushahidi watolewa kuhusu mauaji ya Edwin Chiloba
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Setback for Ruto as court temporarily stops Kenya Pipeline sale
- 16 Aug 2025 - Supreme Court throws out bid to hold polls in 2026
- 16 Aug 2025 - Court thwarts bid for direct payments for call-back tunes
- 16 Aug 2025 - Dancing and ululations at State House won't revive the economy
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats