- 346 views
Kaunti Ya Taita-Taveta ni miongoni mwa kaunti eneo la Pwani ambayo imezidi kushuhudia ongezeko la maambukizi ya virusi vya ukimwi haswa miongoni mwa vijana kati ya umri wa 10-24 , maambukizi mapya ya zaidi ya 659 zikirekodiwa huku jinsia ya kike ikionekana kuathirika zaidi na maambukizi haya ,hii ni kulingana na takwimu za idara ya afya za kitaifa na zile zilizotolewa na idara ya maambukizi ya magonjwa yanayohusikana na ngono kaunti hio. Taita Taveta ikiwa kaunti ya pili katika maambukizi mapya ya virusi hivyo baada ya kaunti ya Mombasa na kwa sasa zaidi ya watu 6,790 wakiishi na virusi hivi ongezeko la asilimia 2.34% katika maambukizi hayo.
Kaunti ya Taita Taveta ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Setback for Ruto as court temporarily stops Kenya Pipeline sale
- 16 Aug 2025 - Supreme Court throws out bid to hold polls in 2026
- 16 Aug 2025 - Court thwarts bid for direct payments for call-back tunes
- 16 Aug 2025 - Dancing and ululations at State House won't revive the economy
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats