- 408 views
Hali ya taharuki ilitanda katika kijiji cha Kolong kwenye eneo bunge la Emgwen kaunti ya Nandi baada ya wakazi wenye hamaki kumvamia mwanamke anayedaiwa kumuua mwanamume aliyepatikana akimnajisi bintiye wa miaka 2. Akidhibitisha kisa hicho OCPD wa Nandi ya kati David Anyir, alisema kuwa mama huyo alikiri kumuua mwanaume mmoja kwa kumkatakata alipompata mtu huyo akimnajisi bintiye nyumbani kwake.Anyir aliongeza kusema kuwa mama huyo alimwarifu chifu wa eneo la Kamobo kuwa wakazi walikuwa wanamwandama kufuatia mauaji hayo .
Mwanamke amuua mshukiwa wa ubakaji eneo la Emgwen kaunti ya Nandi
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Setback for Ruto as court temporarily stops Kenya Pipeline sale
- 16 Aug 2025 - Supreme Court throws out bid to hold polls in 2026
- 16 Aug 2025 - Court thwarts bid for direct payments for call-back tunes
- 16 Aug 2025 - Dancing and ululations at State House won't revive the economy
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats