- 274 views
Maafisa wa utibabu katika kaunti ya Busia wameanza mgomo wao rasmi usiku wa leo na kusitisha huduma za afya katika kaunti hiyo.Maafisa hawa wanawania kushinikiza serikali ya Busia kutekeleza matakwa yao ya kuongezewa na kuwalipa mishahara kwa wakati mwafaka, kuwapandisha vyeo pamoja na kuwaongeza marupurupu. Wahudumu hawa wamesema kuwa wamesitisha huduma za afya hadi maslahi yao yasikizwe.
Wahudumu Wa Afya Kaunti Ya Busia Waanza Mgomo
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Setback for Ruto as court temporarily stops Kenya Pipeline sale
- 16 Aug 2025 - Supreme Court throws out bid to hold polls in 2026
- 16 Aug 2025 - Court thwarts bid for direct payments for call-back tunes
- 16 Aug 2025 - Dancing and ululations at State House won't revive the economy
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats