- 3,632 views
Rais William Ruto ameutaka muungano wa bara Afrika kufanya hima na kujikimu kuhusu masuala ya maendeleo, uchumi na ustawishaji bila kutegemea misaada kutoka mataifa ya magharibi. Akizungumza katika mkutano wa tano wa muungano huo Rais William Ruto pia alipendekeza kuwe na mabadiliko kwani ilivyo sasa asilimia sitini ya miradi ya au inafadhiliwa na wafadhili wa nje. Kati ya marais waliokuwemo kwenye mkutano huo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa ya UNDP eneo la Gigiri, ni pamoja na Azali Assoumani wa Comoros, Ali Bongo wa Gabon, Abdel Fattah wa Misri, Macky Sall wa Senegal, Ismail Guelleh wa Djibouti, Bola Tinubu wa Nigeria na mwenyekiti wa Muungano wa Bara Afrika Moussa Faki.
Rais Ruto ataka Afrika kufanisha maendeleo yake kwa kujikimu
- 16 Aug 2025 - Rights activists in Germany filed criminal cases Friday against two government ministers after Afghans accepted under a German scheme for at-risk refugees were deported from Pakistan while waiting for their visas.
- 16 Aug 2025 - The ODM leader says the roles should include the running of education, a proposal rejected by a section of leaders
- 16 Aug 2025 - During the public forums, the implementation team will meet various stakeholders including women, youths, professional agencies and clergy
- 16 Aug 2025 - A Sh50 bribe demand could now cost rogue officers their badges.
- 16 Aug 2025 - The Bill is co-sponsored by Majority and Minority leaders
- 16 Aug 2025 - Bigwigs unite to defend CDF kitty
- 16 Aug 2025 - Ogamba underscored the importance of harnessing unexploited talents from junior secondary school to university
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - The US state of Louisiana has filed a lawsuit accusing Roblox of facilitating the exploitation of children, prompting the online game platform to reject the claim as "untrue" on Friday. A lawsuit filed by Louisiana Attorney General Liz Murrill contends…
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.