Skip to main content
Skip to main content

KCB watawazwa mabingwa wa raga 2025 baada ya kuibwaga Kabras Kisumu

  • | Citizen TV
    293 views
    Duration: 42s
    Kcb RFC wameendeleza kukoleza wino wa jina lake kwenye raga nchini baada ya kunyakuwa ubingwa wa msururu wa raga ya wachezaji saba mwaka 2025 ikiwa timu yenye rekodi kubwa zaidi katika miaka 26 ya mchuano huo.