Skip to main content
Skip to main content

Maabara ya kushughulikia polio yazinduliwa jijini Nairobi

  • | KBC Video
    702 views
    Duration: 2:52
    Katika hatua inayodhamiriwa kupiga jeki juhudi za kutokomeza ugonjwa wa kupooza pamoja na michipuko ya maradhi mengine humu nchini, wizara ya afya imezindua maabara pana ya kushughulikia ugonjwa huo katika taasisi ya utafiti wa matibabu -KEMRI jijini Nairobi. Akiongea wakati wa uzinduzi huo leo, waziri wa afya Aden Duale, alithibitisha kwamba kituo hicho kitasaidia kuimarisha mifumo ya kubaini mitindo ya chembechembe za msimbojeni na kupiga jeki sekta ya afya katika kanda hii. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive