- 40 views
Wabunge chini ya muungano wa mtandao wa wabunge wa Afrika wamekitaka chama cha ODM kumchukulia hatua ya kinidhamu mbunge wa Homa Bay Peter Kaluma kufuatia mswada wake wa marekebisho unaokusudia kuruhusu maafisa wa serikali kushikilia ofisi za umma baada ya kuhudumia kifungo kwa tuhuma za ufisadi. Kaluma anataka mabadiliko ya sheria ya kuhalalisha ufisadi na uhalifu wa kiuchumi ya mwaka 2003 kwa kuondoa kabisa kifungu cha 64 kwenye sura ya sita ya katiba ambayo inawazuia wahusika wa ufisadi na uhalifu wa kiuchumi kushiriki uongozi wa afisi za umma. Kulingana na kundi hilo marekebisho ya kaluma ni kinyume na maadili ya ODM ambayo kinara wake amekuwa mstari wa mbele barani kupinga ufisadi.
Wabunge wataka chama cha ODM kumchukulia hatua ya kinidhamu mbunge wa Homa Bay Peter Kaluma
- 15 Jul 2025 - A nighttime fire at a nursing home has left nine people dead in the northeastern US state of Massachusetts after a desperate rescue operation, local authorities said Monday.
- 15 Jul 2025 - Karua, the People’s Liberation Party leader and long-time advocate for civil liberties, served as the chief guest at the cultural event that brought together members of the Kenyan diaspora in the U.S. Pacific Northwest.
- 15 Jul 2025 - In a statement released Monday, KUCO announced plans for mass demonstrations on Wednesday, July 17, in Nairobi. The union said it will present a public petition demanding immediate action to address what it described as the deteriorating state of public…
- 15 Jul 2025 - In a constitutional petition filed by UK-based activist Eliud Matindi, Justice Chacha Mwita ruled that there would be no interim orders preventing Lagat from carrying out his duties as Deputy Inspector General until the matter was fully heard and…
- 14 Jul 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) charged the suspects with committing a terrorist act contrary to Section 4(1) of the Prevention of Terrorism Act No. 30 of 2012.
- 14 Jul 2025 - Bereaved families have since been forced to transport their loved ones over long distances to Kabarnet, Ravine, or Nakuru, incurring additional costs and logistical challenges during already difficult times.
- 14 Jul 2025 - According to local authorities, four houses were set ablaze by the angry villagers, including homes belonging to the accused man’s two wives and his sons.
- 14 Jul 2025 - Sudanese farmers and activists said Monday that Ethiopian militias had conducted cross-border raids on agricultural villages, disrupting the sowing season in a country already at war and suffering a dire hunger crisis.
- 14 Jul 2025 - fuel prices have gone up by Sh 8.99 for petrol, Sh8.67 for diesel and Sh9.65 per litre of kerosene.
- 14 Jul 2025 - "Even in any family, there is a day that when visitors come, you must be at your best behaviour.."