- 220 viewsUngana na mwandishi wetu akikuletea hali ya watoto ambao wanakabiliwa na utapiamlo katika katika kituo cha afya mjini Khartoum. Watoto hao na familia zao zimelazimika kukimbia makwao tangu kuanza vita nchini humo. Endelea kusikiliza. #sudan #kambi #chad #wagonjwa #matibabu #utapiamlo #voa #voaswahili #dunianileo #njaa - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kiasi cha watoto 500 wamefariki kwa njaa nchini Sudan
- 18 Jul 2025 - France handed over control of its last major military facility in Senegal on Thursday, marking the end of its armed forces' long presence in the West African country and a milestone in a withdrawal from the wider region.
- 18 Jul 2025 - Mount Kenya MPs allied to the government have condemned what they are calling reckless, selfish politics behind the recent wave of violence that rocked parts of Central Kenya.
- 18 Jul 2025 - The just-released report on the state of education in Kenya has raised red flags over critical challenges threatening learning outcomes across the country.
- 18 Jul 2025 - Wiper leader Kalonzo Musyoka has accused ODM leader Raila Odinga of hypocrisy over his proposal for an inter-generational dialogue, with the aim of bridging the gap between the government and the country’s youth.
- 17 Jul 2025 - Tiberius Ekisa, the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Officer in charge of Nairobi Central, testified before the inquest into Rex Masai's killing on Thursday.
- 17 Jul 2025 - Former Karachuonyo Member of Parliament Dr. Phoebe Muga Asiyo has died in a hospital in North Carolina, United States of America, at the age of 93 years.
- 17 Jul 2025 - A cloud of shock and grief hangs over the Kenyatta National Hospital (KNH) following the mysterious and tragic death of a patient, whose body was discovered in a blood-soaked bed shortly after visiting hours on Thursday afternoon.
- 17 Jul 2025 - Political and religious leaders are top on the list of individuals and entities being investigated by the government for aiding and abetting banditry in West Pokot County.
- 17 Jul 2025 - Civil society group Operation Linda Jamii has filed a constitutional petition challenging the appointment of Michael Nyachae as the chairperson of the board of the Development Bank of Kenya.
- 17 Jul 2025 - Post-mortems were on Thursday conducted on the bodies of two young men who were shot dead by police during the recent Saba Saba protests in Kirinyaga County.