- 6,213 views
Kinara wa muungano wa Azimio Raila Odinga amesema kwamba mrengo huo utaendelea kuwatafutia waathiriwa wa maandamano haki nje ya mazungumzo ya kitaifa yanayoendelea. Odinga ambaye aliongoza mkutano wa viongozi wa Azimio jijini Mombasa vile vile amekashifu mpangilio wa serikali wa kugeuza Bandari ya Mombasa kukombolewa na wawekezaji wa kibinafsi, na kusema kwamba wakazi na Viongozi wa pwani hawataruhusu hilo lifanyike.
Raila akashifu mpangilio wa serikali wa kugeuza Bandari ya Mombasa kukombolewa na watu binafsi
- 21 Jul 2025 - He is accused of being in possession of two unused teargas canisters and one blank bullet.
- 21 Jul 2025 - The affected will have their lands reallocated or repossessed.
- - Activist Boniface Mwangi in court, denies terrorism charges
- 21 Jul 2025 - Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
- 21 Jul 2025 - A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
- 21 Jul 2025 - Ex-governor and her family take over the Umoja na Maendeleo Party.
- 21 Jul 2025 - The arrest triggered widespread public attention, with authorities claiming to have recovered items that raised national security concerns.
- 21 Jul 2025 - Girls who cannot afford pads are conceiving and seeking abortion services to ward off periods
- 21 Jul 2025 - Kiswahili connects cultures at Confucious Institute.
- 21 Jul 2025 - Speaking during an interview with K24 on Monday, Maraga also said he is aware of the challenges that lie ahead.