- 28 views
Jamii za mpakani mwa Kenya na Ethiopia sasa zitafurahia ushirikiano wa kikanda na kuimarishwa kwa usafirishaji wa bidhaa na huduma. Haya yanajiri baada ya mataifa wanachama wa shirika la IGAD kwa ushirikiano na serikali za Kenya na Ethiopia kuzindua afisi ya kuwezesha maendeleo ya mipaka ya IGAD katika mpaka wa Moyale ili kuimarisha mbinu iliyoratibiwa ya kufanikisha ushirikishwaji wa shirika hilo wakati wa changamoto zozote katika eneo hilo. Zikipongeza hatua hiyo, jamii hizo kutoka kwa mataifa hayo mawili jirani, zilihimiza uingiliaji kati zaidi ili kurahisisha biashara na kutokomeza migogoro baina ya jamii za mipakani mara moja.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Shirika la IGAD kwa ushirikiano na serikali za Kenya na Ethiopia kuimarisha mahusiano mpakani
- 17 Jul 2025 - The Israeli army launched a new round of strikes near the Syrian army and defence ministry headquarters on Wednesday, state-run television said, after Israel warned Damascus against targeting the Druze community.
- 17 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump's tariffs on South Africa could cause around 100,000 job losses, with the agriculture and automotive sectors hardest-hit, central bank governor Lesetja Kganyago said on Wednesday.
- 17 Jul 2025 - Ethiopia has arrested dozens of suspected Islamic State militants, who it claimed have been trained and deployed to carry out operations across the country, the state-affiliated Fana broadcaster reported.
- 17 Jul 2025 - The government is set to review the six-to-six curfew imposed in Kainuk, Turkana, over the last three years to curb the runaway insecurity.
- » 'It wasn't me!' Police officer linked to Rex Masai killing maintains despite video evidence, phone data17 Jul 2025 - IPOA on Wednesday presented evidence that placed the main suspect in the killing of Rex Masai, police officer Isaiah Murangiri, near the scene of the crime.
- 17 Jul 2025 - Isiolo Governor Abdi Guyo has issued a strong statement condemning the politicisation of recent tragic incidents in the
- 17 Jul 2025 - HIV prevention jab set for roll-out next year as key groups hail relief
- 17 Jul 2025 - How officials swindled Sh2.2b from students' health scheme
- 17 Jul 2025 - Will Bonface Ambani restore the lost glory in the den?
- 17 Jul 2025 - Raila has been a voice for the voicelessnothing has changed