- 191 viewsMichuano ya Kombe la Dunia ya kipekee ya 2030 itafanyika Ulaya na Afrika kukiwa na ongezeko lakushtukiza la Amerika Kusini katika makubaliano ya kuruhusu michuano ya soka ya wanaume kuanza na sherehe za kuzaliwa za miaka 100 huko Uruguay. FIFA walifikia makubaliano Jumatano kati ya viongozi wa soka barani kuikubali nchi moja tu kuwa mwenyeji wa michuano hiyo ya 2030 katika nchi sita, taasisi inayosimamia michezo hiyo ilisema. Zabuni ya pamoja kati ya Morocco, Ureno iliongezaka na kuiingiza Uhispania mwaka huu na sasa pia inajumuisha zabuni ya mahasimu walioomba muda mrefu nao ni Argentina, Paraguay and Uruguay. - AP #FIFA #WorldCup #FIFA2030 #VOA - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Michuano ya Kombe la Dunia ya Kipekee ya mwaka 2030 kufanyika Ulaya na Afrika
- 17 May 2024 - Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
- 17 May 2024 - National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.
- - If Finance Bill 2024 goes through as is, we will go for 'maandamano': Azimio MP
- 17 May 2024 - The National Assembly’s Budget and Appropriation Committee, led by Ndindi Nyoro, Member of Parliament for Kiharu Constituency, recently conducted public engagement sessions in Mandera County to discuss the revenue and expenditure estimates for the…
- » Landlord from hell: Residents rescue minor locked in house for two days over Sh15,000 rent arrears17 May 2024 - The landlord's agent had welded the door shut on Tuesday morning while the 14-year-old girl was still inside sleeping.
- 17 May 2024 - The conference is scheduled for today, May 17
- 17 May 2024 - The UNESCO General Conference in November 2021 proclaimed July 7 each year as World Kiswahili Language Day.
- 17 May 2024 - Over 2,000 students from Ngeya Primary School, one of the institutions hardest hit by the Mai Mahiu tragedy, have yet to return to school. Five days after schools reopened following a two-week delay, many students remain absent, with parents and…