- 128 views
Baraza la wazee wa jamii ya Pokot limetaka viongozi kutoka Baringo na Turkana wanaozozania mpaka wa Kapedo kusitisha matamshi ya uchochezi yanayoweza kusababisha ghasia katika mpaka huo. Wazee hao wamesema kumekuwa na cheche za maneno kati ya viongozi wa pande zote mbili. Wazee hao wanataka mkutano baina ya viongozi wote ili kukubaliana kuhusu juhudi za amani huku IEBC ikisubiriwa kuratibu mipaka. Mahakama Kuu ya Kitale ilikuwa imeamua kuwa Kapedo iko katika kaunti ya Baringo ila kaunti ya Turkana ilipinga uamuzi huo kwa kukata rufaa.
Wazee wa jamii ya Pokot wataka mazungumzo ya amani kati ya viongozi wa Baringo na Turkana
- - LIVE | TV47 NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- - CBK Reveals How Long Current Dollar Reserves Could Last For
- 10 May 2024 - Despite state commitments, FGM's evolving tactics like medicalisation, cross-border cut remain stubborn
- 10 May 2024 - ‘People are wondering why degree holders are now boda boda operators, but we must survive.’
- 10 May 2024 - Defence based on claims of lack of evidence or link between the allegations and his duties.
- 10 May 2024 - Friday May 10th has been set aside as a public holiday in Kenya to remember Kenyans who have died from floods.
- 10 May 2024 - Deteriorating soil quality presents an urgent and pressing challenge in a continent where agriculture is a lifeline for millions.
- 10 May 2024 - Defence based on claims of lack of evidence or link between the allegations and his duties.
- 10 May 2024 - The Government is targeting to plant a record one billion seedlings on May 10th, 2024, a public holiday that has been set aside for the National Tree Growing Day. Revealing the plans ahead of the second National Tree Growing Day, Cabinet Secretary for…
- 10 May 2024 - The Government is targeting to plant a record one billion seedlings on May 10th, 2024, a public holiday that has been set aside for the National Tree Growing Day.
- 10 May 2024 - The State Department for Correctional Services Wednesday donated food and other non-food items to the Kenya Red Cross Society to support those affected by ongoing floods that continue to wreak havoc across parts of the country. Handing over the donation…