- 495 viewsKampeni za mwezi moja kabla ya uchaguzi mkuu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilianza rasmi Jumapili kukiwa na wasi wasi na mashaka juu ya kufanyika uchaguzi huo kwa njia huru na amani. Karibu watu millioni 44 wamejiandikisha kati ya wakazi milioni 100, kumchagua rais, wabunge na madiwani hapo Disemba 20, wakati nchi iko katika hali nzito ya kisiasa na usalama huko mashariki ya nchi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kampeni zaanza mwezi mmoja kabla ya uchaguzi mkuu DRC
- - KIDS ON THE BLOCK ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 10 May 2025 - The Government of Kenya has reaffirmed its commitment to strengthening national security through the Strategic Goods Control Bill, 2025, a comprehensive legislative framework aimed at regulating the import, export, transit, and use of goods and…
- 10 May 2025 - Grace Achieng, a 31-year-old mother of one, left her home in Kayole, Nairobi, Kenya, hoping to secure a teaching profession in the Gulf.
- 10 May 2025 - President Donald Trump signed an executive order Friday to create a federally funded self-deportation program with paid flights and an "exit bonus" for any who seek to "voluntarily and permanently" leave the US.
- 10 May 2025 - The inauguration mass of Pope Leo XIV will take place on Sunday, May 18, in St Peter's Square, the Vatican announced.
- 10 May 2025 - The policy is expected to affect the entire East African region which records trade volumes worth billions of dollars every year.
- 10 May 2025 - Justices Daniel Musinga, Mumbi Ngugi and Francis Tuiyott held that only the Chief Justice, as the head of the Judiciary, possesses the constitutional mandate under Article 165(4) to constitute such benches.
- 10 May 2025 - Kenya has launched kidney transplant services at the Kenya University Teaching, Referral and Research Hospital (KUTRRH). The facility carried out its first two kidney transplant surgeries on the 7th and 8th of May 2025, marking a new chapter in the…
- 10 May 2025 - Germany's Lufthansa airline group said on Friday it would extend its suspension of flights to and from Tel Aviv installed after a rocket attack struck the area of Israel's main airport.
- 10 May 2025 - State quiet after Kenyan pilot killed in Sudan's RSF mission
- 10 May 2025 - Why record keeping is key in farming