- 147 viewsNchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki zimekubaliana kutangaza utalii kwa pamoja badala ya kila nchi kunadi utalii yenyewe ikiwa ni jitihada za kuinua utalii wa kanda nzima. Katika kongamano la tatu la utalii lililomalizika nchini Kenya, nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana kuanzisha mchakato wa kuondoa hitaji la visa ilikuwarahishia watalii kuzuru mataifa hayo kwa wakati mmoja bila pingamizi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zakubaliana kuutangaza utalii kwa pamoja
- 17 Aug 2025 - ODM leader Raila Odinga has sharply criticised individuals who spread malicious rumours and wished death upon Siaya Governor James Orengo when he was out of the country for more than one month.
- 17 Aug 2025 - European leaders will join Ukrainian President Volodymyr Zelensky during his visit to Washington on Monday seeking an end to Moscow's invasion, after President Donald Trump dropped his push for a ceasefire following an Alaska summit with Russian leader…
- 17 Aug 2025 - Uganda has inaugurated its first large-scale gold mine, a $250 million Chinese-owned project in the country's east that will also refine the bullion to 99.9% purity, according to a statement from the president's office.
- 17 Aug 2025 - Whether in a sports jersey or a suit, Kenyan President William Ruto is casting himself as a model supporter of the national football team as an international tournament provides respite from recent bloody protests against his regime.
- 17 Aug 2025 - Content creator Maureen Waititu has raised an alarm over a new phone scam targeting mobile users through calls
- 17 Aug 2025 - Veteran Tanzanian musician Ali Kiba has once again proven his timeless sense of style after stepping out in
- 17 Aug 2025 - 'Leave education matters to experts.'
- 17 Aug 2025 - Security has been heightened along the Thika Superhighway near the Moi International Sports Centre, Kasarani, ahead of Kenya’s Harambee Stars match against Zambia’s Chipolopolo.
- 17 Aug 2025 - The second half is expected to bring more intensity as both teams chase a crucial win.
- 17 Aug 2025 - Kenyan singer Otile Brown has hilariously admitted that he finally understands just how expensive it is for women