- 56 views
Mwanamume mmoja wa umri wa miaka 60 katika kijiji cha Kigoro katika eneo la Maragua Ridge , kaunti ya Murang’a ameuawa na mtu aliyejihami kwa shoka kwenye njama ya kuiba shilingi alfu-12 . Jane Waruguru, ambaye ni mkewe marehemu, Peter Kamau, pia anauguza majeraha ya kichwa pamoja na watu wengine wawili wa familia hiyo walioshambuliwa na mvamizi huyo. Kwingineko, mama mwenye umri wa miaka 67 amelazwa katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Baringo baada ya mwanawe wa kiume kumwagia maji moto kufwatia tofauti kati yao kuhusu tohara ya mjukuu wake .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #murdermystery
Mwanamume mmoja katika kijiji cha Kigoro auawa na mtu aliyejihami kwa shoka
- 13 Jul 2025 - Protests show that psychological motivation to protest is a key driver used amongst the youth
- 13 Jul 2025 - Creating a global anti-graft court is the best impartial way to prosecute cases free from political interference
- 13 Jul 2025 - In Kenya, we are no strangers to state violence. But never before has it been commanded so openly
- 13 Jul 2025 - The demonstrations turned violent as was predicted leaving over 31 people dead
- 13 Jul 2025 - Nairobi County’s Chief Officer for Environment, Geoffrey Mosiria, has pledged to support street vendors following a tense initial
- 13 Jul 2025 - Much is still unknown about what caused an Air India flight June 12 to crash, killing at least 260 people. The London-bound plane crashed shortly after taking off from an airport in the city of Ahmedabad, India, and ripped through the dining hall of a…
- 13 Jul 2025 - Mexican officials have been negotiating for months in hopes of reaching a trade deal with Washington that would not devastate the country’s export-driven economy, but President Donald Trump upended those talks Saturday when he threatened to impose a 30…
- 13 Jul 2025 - Inclusive National Justice, Economic & Civic Transformation (INJECT) Party leader Morara Kebaso has urged the country’s youth, particularly
- 13 Jul 2025 - Roots Party leader Professor George Wajackoyah has finally graduated from the University of Walden with a Doctor of Law degree. In a statement late on Saturday, July 12, 2025, Wajackoyah celebrated his achievement by sharing a video of how he was…
- 13 Jul 2025 - People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has called for accountability following the Kenya National Commission on Human