- 13 views
Magwiji wa zamani wa utangazaji kwenye shirika la utangazaji nchini, KBC, sasa watajumuishwa kwenye chapisho la kitabu cha kumbukumbu za Kenya la mwaka huu yaani Kenya Year Book. Akitoa agizo hilo, waziri wa teknolojia ya habari na mawasiliano Eliud Owalo,alisema watangazaji hao wa zamani wanafaa kuenziwa kutokana na mchango wao mkubwa, sio tu katika tasnia ya habari, bali katika jamii kwa jumla. Aliongea wakati mkutano wa kiamsha kinywa na magwiji hao wa zamani wa shirika la utangazaji nchini, KBC
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Magwiji wa utangazaji waenziwa kwa mchango wao katika tasnia ya uanahabari
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU