- 67 views
Askofu mkuu wa kanisa katoliki katika dayosisi ya Mombasa ,Martin Kivuva amepinga hatua ya Vatican ya kuwaidhinisha makasisi kuwapa baraka wapenzi wa jinsia moja. kivuva ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la maskofu wakatholiki nchini amesema katu kanisa katoliki halitafungisha ndoa za watu wa jinsia moja. Hii ni baada ya Askofu mkuu wa Nairobi Philip Anyolo kutoa kauli sawia hapo jana akisema kuwa kubariki miungano ya watu wa jinsia moja hakuambatani na mafundisho ya kanisa.
Askofu Kivuva apinga hatua ya Vatican ya kuwaidhinisha makasisi kuwapa baraka wapenzi wa jinsia moja
- 18 May 2025 - British climber Kenton Cool successfully climbed Mount Everest for the nineteenth time on Sunday, extending his own record for the most summits of the world's highest mountain by a non-Nepali.
- 18 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has continued his bare-knuckle attacks on President William Ruto, this time linking him to a posh camping site being constructed at the Sanctuary block in Ngong Road Forest.
- 18 May 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has assured Kenyans that the 2027 elections will be free, fair and peaceful.
- 18 May 2025 - Kesses legislator Julius Ruto has called on Moi University management to conduct downsizing of its workforce in a way devoid of victimisation and discrimination.
- 18 May 2025 - US President Donald Trump said Saturday he would speak by phone with Russian President Vladimir Putin to end the "bloodbath" in Ukraine, a day after the first direct talks between Russia and Ukraine in more than three years.
- 18 May 2025 - There have been growing concerns about Kindiki's role in government.
- 18 May 2025 - Pope Leo XIV set the tone for his papacy Sunday with a call to stop exploiting nature and marginalising the poor, before an audience including JD Vance and tens of thousands of pilgrims.
- 18 May 2025 - The former DP made controversial remarks during an interview on Friday.
- 18 May 2025 - The CS has urged Members of Parliament to intervene.
- 18 May 2025 - Its construction was launched in March.