Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini raia wa Malawi wamemtema Rais Chakwera, na kumchagua mpinzani?

  • | BBC Swahili
    13,023 views
    Duration: 4:57
    Rais wa Malawi Lazarus Chakwera, amekubali kushindwa katika uchaguzi mkuu wa urais wa nchi hiyo. Chakwera amelihutubia taifa mapema leo na kusema kwamba amefanya hivyo kwa kuheshimu azma ya wananchi ya kutaka mabadiliko ya uongozi. #dirayaduniatv