Skip to main content
Skip to main content

Wadau wa sekta ya utalii wasema vivutio vya watalii vinaharibiwa Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    163 views
    Duration: 2:11
    Wadau wa sekta ya utalii katika kaunti ya Trans Nzoia wamepiga kengele ya hatari wakitaja uharibifu wa mazingira na unyakuzi wa ardhi kama tishio kuu kwa mustakabali wa utalii katika eneo hilo.