Waandamanaji, mapambano katika mitaa ya Dakar baada ya uchaguzi wa rais kuahirishwa
Wabunge wa Senegal Jumatatu walijadili hali iliyokuwa haijawahi kutokea ya hatua ya kuahirisha uchaguzi wa rais uliokuwa ufanyike mwezi huu, ambao ulisababisha mapambano ghasia nje ya bunge na kuleta wasiwasi kimataifa.
Vikosi vya usalama vilitumia mabomu ya machozi kuvitawanya vikundi vidogo vya waandamanaji wa upande wa upinzani nje ya Bunge la Taifa. Waandamanaji walikuwa wakiimba “Macky Sall ni dikteta” wakikusudia rais wa nchi hiyo baada ya kutawanywa.
Mapambano ya mara kwa mara yalikuwa nadra kuonekana katika eneo ambalo kwa kawaida ni tulivu mjini Dakar, ambako polisi na vikosi vya usalama vikisaidiwa na magari makubwa yalipelekwa kulilinda bunge. - AFP
#senegal #mackysall #voaswahili
18 May 2024
- The shilling has strengthened against the Euro and the Sterling Pound by 18 per cent.
18 May 2024
- On Friday, 14 MPs from the Democratic Party accused the House Speaker of disrespecting Kenya.
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
19 May 2024
- Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
19 May 2024
- Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
19 May 2024
- Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
19 May 2024
- Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
19 May 2024
- The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
19 May 2024
- Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
19 May 2024
- Police probe fatal shooting incident over market space dispute
19 May 2024
- 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
19 May 2024
- Counties leaders demand higher stake in tea estate sale
19 May 2024
- Firm charts green energy path with low-carbon emission engines