- 1,236 viewsFainali ya Jumapili itakuwa na taswira ya marudio ya mchuano wa makundi kati ya Ivory Coast na Nigeria, wa Januari 18, ambapo Super Eagles walishinda 1-0. Wakati huo huo, DR Congo italazimika kuwania nafasi ya tatu mjini Abidjan Jumamosi dhidi ya Afrika Kusini. Walikuwa na matumaini ya kushinda hadi fainali ya kwanza ya Kombe la Mataifa tangu wawe mabingwa, wakati huo nchi yao ikijulikana kama Zaire, mwaka 1974, nusu karne iliyopita. Jumatano, Nigeria walifuzu kkuingia fainali baada ya timu yao Super Eagles kuwacharaza Bafana Bafana ya Afrika Kusini, mabao manne kwa mawili, kupitia mikwaju ya penalti. #AFCON #Leopard #DRC #Afrika #Soka #supereagles #fainali #mechi
Mashabiki wa Nigeria wakifurahia ushindi wao dhidi ya Afrika Kusini
- 13 Aug 2025 - President William Ruto on Wednesday assented to the County Allocation of Revenue Bill, 2025, and the County Public Finance Laws (Amendment) Bill, 2023.
- 13 Aug 2025 - The ruling follows a petition filed by four individuals, among them Nakuru-based surgeon Dr. Benjamin Gikenyi, challenging the legality of the committee appointed to audit pending NHIF claims.
- 13 Aug 2025 - The clarification follows an uproar from Kenyans.
- 13 Aug 2025 - The United States as intensified crackdown on individuals seeking student visas.
- 13 Aug 2025 - The president had previously hosted thousands of youths at State House.
- 13 Aug 2025 - China expects to import 2,000 tonnes of macadamia by the end of the year.
- 13 Aug 2025 - "Tusiharibu game tumestruggle sana kuijenga.”
- 13 Aug 2025 - The PROMISES!
- 13 Aug 2025 - Senior officials from the British Army Training Unit Kenya (BATUK) failed to appear in Parliament on Tuesday to answer questions about the atrocities their soldiers have committed in the country.
- 13 Aug 2025 - African officials and experts have warned that the unpredictability of U.S. trade policy fuels uncertainty for the continent's development.