- 307 views
Askofu mkuu wa kanisa katoliki dayosisi ya Nairobi Philip Anyolo amewataka viongozi wa kisiasa kujiunga na kanisa katika kipindi cha siku 40 za Kwaresma kutafakari uadilifu wao binafsi. Akizungumza katika kanisa la Mtakatifu Monica eneo la Njiru wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Kwaresma, Askofu Anyolo amesema kauli ya mwaka huu ya “uadilifu kwa taifa lenye haki” ina maana kubwa kwa wakenya wakati huu ambapo viongozi wanaonekana kukiuka sura ya sita ya katiba. Askofu anyolo pia ametoa wito kwa serikali kuu kutafuta mbinu za kupunguza gharama ya maisha .
Askofu mkuu Philip Anyolo awataka wanasiasa pia wafunge Kwaresma
- 25 Jun 2025 - At his grocery store in an Iranian neighborhood of Los Angeles, Mohammad Ghafari is worried sick about his brothers and sisters since the United States bombed the Islamic republic's nuclear sites.
- 25 Jun 2025 - Powerful gangs that control much of Haiti are increasingly ruthless and better armed despite a weapons embargo, the United Nations said Tuesday.
- 25 Jun 2025 - Uganda's President Yoweri Museveni will seek reelection for another term in polls due early next year to extend his nearly four-decade rule, according to a senior official from the ruling party.
- 25 Jun 2025 - A year of silence for kin missing their loved ones
- 25 Jun 2025 - Kariuki's family locks out strangers from son in ICU
- 25 Jun 2025 - MSMEs are the backbone of our nation's progress
- 25 Jun 2025 - Githurai All-Stars, Starlets rule Gishu Super Cup
- 25 Jun 2025 - ALUTA CONTINUA: Police maimed and killed Gen Z protesters criticizing leadership
- 25 Jun 2025 - Budding techpreneur with an eye on drone soccer World Cup
- 25 Jun 2025 - Chaos plotters: Kamket put to task as others issue more threats