- 142 views
Naibu rais Rigathi ametoa wito wa maridhiano kwa aliyekuwa rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine wa Azimio katika eneo hilo, ili kuweka tofauti zao kando kwa ajili ya umoja wa eneo la Mlima Kenya. Gachagua ambaye alikuwa akiongea katika eneo la Tetu kaunti ya Nyeri wakati wa mazishi ya aliyekuwa naibu inspekta mkuu wa polisi King'ori Mwangi, alisema umoja wa viongozi katika eneo hilo ni muhimu katika kuokoa jamii ya eneo hilo kutokana na tofauti zilizoibuka wakati wa uchaguzi wa mwaka 2022 ambao umeendelea kuleta mgawanyiko miongoni mwao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Rigathi atoa wito wa maridhiano kwa Uhuru Kenyatta na viongozi wengine wa Azimio
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).
- 18 May 2024 - A US Supreme Court justice faced calls on Friday to recuse himself from cases involving Donald Trump after an inverted American flag -- a symbol of the former president's false election fraud claims -- was flown outside his home.
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - Ghana's parliament, which has been adjourned since March following a row between the speaker and the president over an anti-LGBT bill, will reconvene on Friday to discuss approval of ministerial appointees and other "urgent matters".
- 18 May 2024 - US Central Command said aid trucks had begun moving ashore at about 09:00 local time (07:00 BST) on Friday.
- 18 May 2024 - According to the initial plan, the project is projected to cost Ksh4 billion.
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Spare us wild goose chase in weak impeachment motions
- 18 May 2024 - Alarm over shortage of newborn jabs as Gavi launches measles drive