- 537 views
Wezi wa mifugo wamemuua na kutwaa bunduki ya afisa wa akiba eneo la Nosukuro kaunti ya Baringo watu wengine wawili akiwemo naibu mwalimu mkuu wa shule ya Nosukuro wanauguza majeraha baada ya kupigwa risasi na majambazi hao. Mwendazake ambaye alikuwa anasindikiza mwalimu huyo pamoja na mwendeshaji wa boda boda alipigwa risasi kifuani na kufariki papo hapo. Wakazi wanaitaka serikali kufanya operesheni ya kukomesha mauaji ya kiholela eneo hilo.
Majambazi wamuua polisi wa akiba na kuiba bunduki yake Baringo
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU