- 5,850 views
Wiki chache baada ya runinga ya Citizen kuangazia masaibu ya Afisa wa Polisi Clement Erumu aliyekuwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Elwak Mandera na akatoweka kazini kutokana na msongo wa mawazo baada ya kushuhudia wenzake wote wakiuawa na magaidi, idara ya Polisi imemwagiza aondoke kwao Lorugumu kaunti ya Turkana na aripoti katika makao makuu ya Polisi Nairobi,ili apate ushauri nasaha na kurejeshwa kazini . Na kama anavyoarifu Cheboit Emmanuel, familia ya afisa huyo ambaye alikuwa amezamia kazi ya mjengo kijijini imeishukuru idara ya polisi kwa kuchukua hatua hiyo.
Polisi aliyetoroka kazini kutokana na msongo wa mawazo apewa ushauri nasaha Nairobi
- 1 Jun 2025 - Torrential monsoon rains in India's northeast triggered landslides and floods that swept away and killed at least five people in Assam, disaster officials said Saturday.
- 1 Jun 2025 - Flooding in Nigeria's Niger State this week has killed 151 people and forced several thousand from their homes, an emergency official told Reuters on Saturday.
- 1 Jun 2025 - The cold weather season has began in the highlands East of the Rift Valley, the Rift Valley and Nairobi County. According to the June, July, August (JJA) parts of the South Eastern lowlands and isolated areas in Marsabit County, are expected to…
- 1 Jun 2025 - Samidoh goes from keeping exes coming back for more to serenading bandits
- 1 Jun 2025 - My father found the rhythm of life through music
- 1 Jun 2025 - World Bank: Use civil servants allowances to upgrade Naivasha
- 1 Jun 2025 - Thorns in the flesh: Multiple forces fighting Ruto's re-election bid
- 1 Jun 2025 - Justice for the dead: Families sue as hospitals detain bodies over bills
- 1 Jun 2025 - Will Natembeya win where others failed to unite the Luhya nation?
- 1 Jun 2025 - Why Ngugi wa Thiong'o never won Nobel Prize for Literature