- 64 viewsMakampuni ya Kenya, yanayokabiliwa na changamoto, yanageukia akili mnemba yaani artificial intelligence AI ili kupunguza gharama za uzalishaji na matangazo. Ambazo zinasababisha wasi wasi miongoni mwa wasanii na mashirika ya matangazo, ambayo yanakhofia kupungua kwa mapato na hasara ya ajira kama AI inaweza kuchukua kazi ambazo wamekuwa waikizifanya siku zote. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Makampuni kenya yatumia Akili Mnemba kuzalisha matangazo
- - BBC News Swahili ››
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- 12 Aug 2025 - Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has moved swiftly to de-escalate tensions in Siakago Town, Mbeere North, following violent clashes between two warring groups.
- 12 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen now says no public servant should openly oppose the government of the day, warning that such conduct is both illegal and unconstitutional.
- 12 Aug 2025 - DAP-K leader Eugene Wamalwa now says there is a plan by President William Ruto to infiltrate the political outfit through frivolous petitions seeking a change in leadership.
- 12 Aug 2025 - Long-delayed road projects in northern Kenya are set to resume after years of inactivity, Deputy President Kithure Kindiki has said, citing a new funding approach that has brought contractors back to site.
- 12 Aug 2025 - A woman has been arrested in Bondeni, Nakuru County for allegedly supplying cannabis and cannabis-laced cookies to minors in what authorities describe as a deliberate attempt to lure children into drug abuse.
- - EACC officers raid Laikipia Speaker's home, office over alleged forgery of academic papers
- 12 Aug 2025 - The changes were introduced through the Finance Act, 2025.
- 12 Aug 2025 - The National Police Service Commission (NPSC) is facing mounting internal tensions that threaten to derail the planned recruitment of 10,000 new police officers this September.
- 12 Aug 2025 - The decision was made following a meeting on Tuesday.
- 12 Aug 2025 - Lawyer says firm breached contract by going to court.