Mfanyabiashara aomba serikali iwawekee kodi moja
Video hii imechukuliwa katika soko la Kituku liliyopo kwenye bandari ndogo ambayo inapokea wafanyabiashara wengi na wakulima kutoka kwenye vijiji mbali mbali huko Kivu Kaskazini na Kivu Kusini.
Kati yao ni wafanyabiashara wa mkaa na watu wanao fika bandarini kwa kutumia boti wakitoka vijijini na wengine wakiondoka kwenda vijijini ambako wanafuata mazao ya chakula, boti zote wanazotumia zimetengenezwa kwa mbao.
Boti hizi hubeba mkaa, ndizi, mbuzi na vitu vingine kuja Goma ambako kuna maelfu ya watu wanaopitia hali ngumu ya kimaisha.
Sehemu hii kuna soko. Vile vile kuna shughuli za usafirishaji, ndiyo sababu utawakuta watu wengi wapikipiki wakisubiri wateja na kuwapeleka katikati ya Mji ambako sasa biashara mbalimbali huuzwa barabarani ama kwenye baadhi ya maduka.
Watumiaji wa piki wakilalamikia hali ya Maisha kuwa ngumu kutokana na vita mashariki mwa Congo hasa hivi vya M23 ambavyo vimeathiri shughuli zote Mjini Goma na Kote Kivu kaskazini kutokana na vijiji vingi kuchukuliwa na waasi hao na kupelekea wakulima kuhama makaazi yao na kuwa wakimbizi katika mji wa Goma.
Sikiliza pia malalamiko ya kodi zinazotozwa ambazo zimekuwa kero kwa wananchi. Endelea kusikilzia mfanyabiashara aliyehojiwa na mwandishi wetu Austere Malivika huko mji wa Kituku akieleza...
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili
12 Aug 2025
- The Kenyan is expected in Nairobi on Sunday.
12 Aug 2025
- The bank will be created before the year ends.
12 Aug 2025
- The drivers were told to suspend their trip until further notice.
12 Aug 2025
- The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
12 Aug 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
12 Aug 2025
- Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…
12 Aug 2025
- Dagoretti North MP Beatrice Elachi has called for more stringent and unpredictable checks on public servants’ wealth declarations, saying the current system is easily circumvented and ineffective in fighting corruption.
12 Aug 2025
- The Kenyan is expected in Nairobi on Sunday.
12 Aug 2025
- The bank will be created before the year ends.
12 Aug 2025
- The drivers were told to suspend their trip until further notice.
12 Aug 2025
- The High Court on Tuesday dismissed a petition challenging the appointment of PSC Vice Chairperson Mary Kimonye and commissioners Boya Molu, Irene Asienga, and Francis Meja.
12 Aug 2025
- The deal will solve a diplomatic fallout between the two countries.
12 Aug 2025
- According to a police report filed at Kehancha Police Station under OB No. 7/10/8/2025, Corporal James King’ori Karimi, attached to DCI Kuria West, discovered his pistol missing in the early hours of Sunday morning.