- 225 views
Waziri mkuu wa Haiti Ariel Henry amejiuzulu kutokana na utovu wa usalama unaoendelea nchini humo. Muungano wa mataifa ya carribean unaongozwa na rais wa Guyana Irfaan Ali umethibitisha kujiuzulu kwa waziri mkuu huyo. Henry mwenye umri wa miaka sabini na nne ni daktari aliyesomea taaluma ya upasuaji wa ubongo kabla ya kushika hatamu za uongozi mwaka wa 2021 wakati rais wa taifa hilo alipouawa na wanamgambo. Henry alizuru Kenya hivi majuzi na kutia saini mkataba na rais William Ruto wa kuwezesha na kurushu kenya kutuma walinda usalama kusaidia katika juhudi za kiusalama huko Haiti. Taifa hilo limekumbwa na misukosuko huku makundi ya watu waliojihami yakitatiza shughuli za usalama.
Waziri Mkuu wa Haiti Ariel Henry ameondoka mamlakani kufuatia uhasama
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 11 May 2024 - The Biden administration on Friday said Israel's use of U.S.-supplied weapons may have violated international humanitarian law during its military operation in Gaza, in its strongest criticism to date of Israel.
- 11 May 2024 - Environment Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Suipan Tuya has revealed that the Friday Tree Planting holiday was more successful than the first one last year.
- 11 May 2024 - Seven people were killed when a bus with an estimated 20 people on board crashed into a river in the northern Russian city of St Petersburg on Friday, officials said.
- 11 May 2024 - Prince Harry and his wife Meghan Markle visited Nigeria on Friday as part of his promotion of the Invictus Games, the sporting event he founded for wounded military veterans.
- 11 May 2024 - Chad has ordered the immediate deployment of troops to maintain peace, especially in the capital, N'djamena, after provisional results of the May 6 presidential elections.
- 11 May 2024 - Also appearing to shed more light on the matter are NTSA and the Insurance Regulatory Authority (IRA).
- 11 May 2024 - Meanwhile, Willis Raburu also hinted at his next step after leaving TV47.
- 11 May 2024 - President William Ruto says a law enacted more than a decade ago to govern civil society organisations has now been operationalised. The President said the execution of the legal instrument to make the Public Benefits Organisations Act operational,…
- 11 May 2024 - KPA land worth Sh2.9 billion has been grabbed, committee reveals
- 11 May 2024 - Child's body missing after four family members die in accident