Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto : Utepetevu wa baadhi ya viongozi ulichangia maandamano ya vijana

  • | KBC Video
    981 views
    Duration: 1:13
    Rais William Ruto amesema serikali imejitolea kutekeleza mageuzi makubwa ili kubadilisha sekta ya kilimo na kupunguza gharama ya maisha. Rais Ruto amesema kwamba tayari, hatua za kilimo zimesaidia kuongeza uzalishaji, huku zikipunguza gharama ya bidhaa muhimu kama vile mahindi, maharagwe na ngano. Ruto alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho ya kibiashara ya kimataifa ya Nairobi ya mwaka huu kwenye uwanja wa Jamhuri. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive