- 86 views
Watu-15 walipoteza maisha yao katika ajali tofauti za barabarani katika muda wa saa 24 zilizopita. Watu saba walifariki huku wengine kadhaa wakipata majeraha jana usiku baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana ana kwa ana na gari lingine katika kaunti ya Kericho. Kwingineko, watu wanane walifariki katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari la uchukuzi wa umma na lori karibu na daraja la Ngata kwenye barabara kuu ya Nakuru-Eldoret. Hayo yanajiri huku halmashauri ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani ikitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu wakati huu wa msimu wa mvua ambao hughubikwa na hatari nyingi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Jinamizi barabarani I Watu-15 waangamia katika saa-24 zilizopita
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
- 19 May 2024 - The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
- 19 May 2024 - Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.
- 19 May 2024 - This is the second time Ruto is hosting Somalia President in Nairobi in less than two months.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - Why IMF policies cannot align with bottom-up agenda
- 19 May 2024 - Mr Gantz set an 8 June deadline for a plan to achieve six "strategic goals".
- 19 May 2024 - Is it possible that a crack has emerged between him and his boss?