- 798 views
Vita vya ubabe wa kisiasa vilisheheni eneobunge la Kigumo kaunti ya Murang’a, baada ya mwakilishi wa kike wa kaunti hiyo Betty Maina kuzomewa na umati. Maina alimshutumu mbunge wa eneo hilo Mary Waithira kwa kufadhili rabsha zilizoshuhudiwa huku akisema kuwa hatobanduka katika safari yake ya kisiasa. Hafla hiyo ya kuwasaidia kina mama wanaoshona vikapu iliyohudhuriwa na mawaziri watatu akiwemo waziri wa ardhi Alice Wahome ilisitishwa kwa muda, huku polisi wakirejesha hali ya utulivu
Vita vya ubabe wa kisiasa vyachacha Murang'a
- - Duniani Leo ››
- 21 May 2024 - Operators of small boats and crafts in Kenya’s Coastal region have been urged to keep off deep-sea areas.
- 21 May 2024 - Suba North Member of Parliament Millie Odhiambo has expressed concern over increased cases of hippo attacks and killings in several beaches within Homa Bay County.
- 21 May 2024 - Tanzania's weather authorities warn of strong winds, waves in Indian Ocean
- 21 May 2024 - 409 migrants rescued off Libyan coast in past week
- 21 May 2024 - The advisory issued by Kenya Met covers the next seven days.
- 21 May 2024 - Julian Assange wins High Court victory in case against extradition to U.S
- 21 May 2024 - The stabbed man died of bleeding moments later, police said.
- 21 May 2024 - Iran to hold presidential election on June 28
- 21 May 2024 - Mideast countries offer condolences over deaths of Iranian president, FM
- 21 May 2024 - Trump is charged with 34 felony counts of falsifying business records.